Hee Jerrymsigwa ushamuacha
Toba toba tobaaaa,ishia hapo yule naniliu asipaone apa.
niliuacha kwenye PM yako nikawa nasubiri unirudishie ubavu wangu
hivi unajua hadithi yenyewe inahusu "moyo mpweke???"
mhh nshasusa...byeeeemke ametoroka,mmmh mimi49 una-LIKE?acha hizo mupenzi
nisije nikakupenda bure halafu nikatamani baadaye kupenda kuku kuliko ww
mweee! utapenda wangapi sasa, ucje ukaitwa pendapenda
hahaha..ndio tuseme hupendi tena hadithi??kama halii ndo hiyo basi heri tu hujaiendeleza hiyo hadithi
hahaha..ndio tuseme hupendi tena hadithi??
bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi....hakuna kurudi nyuma ni kusonga mble tu.... nimetega mtego mpya....... muda si mrefu kitaeleweka....