wapi huko? huu ujumbe wako umenishtua kidogo ati
haitishi wala...hadithi za aina hiyo ndo naziogopa sana kwa kweli
mambo mazuri huja taratibu, shusha pumzi kwanza..jiandae kwa malove love!!
tafadhali usiwe wa msimu hapa...
Brrrrrr :sad:huwa sipendi kuwa na matatizo ila unaponitosa unanifanya niwe mwenyekiti wa matatizo......utaniua bure kwa presha mimi49
nimechanganya madesa ni Jawilat enhee