Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
ohooooo taratibu king Excel anzia chini na kavitz kwanza si wawajua wana cc wasije sema wauza sembe china
ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja?
hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!!
ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja?
hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!!
hahahahahaha mhhhhhhh anyway wacha nikukabidhj hilo jukumu la kunichagulia aina iendanayo nami huko show room
bebi wangu ni mzuri jamani sijaona...!! she is more than a queen!! yani akitembea najisikia napulizwa na feni ndani ya joto hili la manzese!
hahah LMFAO!..
nasababisha ki slow motion, subiri mpaka uone kalegea ndiyo uje uchungulie..
ni kweli. mitego nimeiweka njema kabisa..
ah!am here,ninöng'oneze sasa!nimekuja sasa, niambie sasa mbona husogei karibu Zaidi, nataka nikunong'oneze kidogo
naona unachekelea? kunani? ama ndo kiwa-t kasababisha?
ah!am here,ninöng'oneze sasa!
usimfundshe mkwez kuangua naz!hehewe nawe mzee hata huonyeshi chambo chambo... mbona maneno yako makaaavu!! tema cheche bana tujionee!!
usimfundshe mkwez kuangua naz!hehe
mhhh Excel unaitwa na mkeo kitandan akakupge na kibakora hahah!
uchochezi weka pembeni wewe. niache na wngu
aaah! mi mzee unadhani niko hapo.. walaaa!! jipeni shida wenyewe huko... ila mkiishiwa pesa, usisite kumwambia charty anibeep kwa m-pesa! sawa eenh?