Udzungwa, uje home upitie nyama ya porini, uniambie na ile project umefikia wapi si unajua hatujamalizana?!.
Nataka nyama nyoka nitapata kichwa tu chanitosha.
kuna project mnafanya?
IPO njoo uchukue basi!
Project imenishinda maana mi nakusifia afu we wanizunguka kutafuta vidumu itabidi utafute patner mwingine
Nitakuja leo usiku
Da utanifanya nianza kumuomba Mungu Jua lizame for the next 1 hour, hicho kichwa nikupashie ukikute cha moto kabisa?
Umejuaje cha moto ndo kizuri
Nataka nyama nyoka nitapata kichwa tu chanitosha.
IPO njoo uchukue basi!
Nitakuja leo usiku
Da utanifanya nianza kumuomba Mungu Jua lizame for the next 1 hour, hicho kichwa nikupashie ukikute cha moto kabisa?
Umejuaje cha moto ndo kizuri
Ha ha haa! Na zawadi nakuongezea! Utaniletea zawadi gani sana ktk muda muafaka?
Are you two patners?
I dont know this...
Ha ha haa! Na zawadi nakuongezea! Utaniletea zawadi gani sana ktk muda muafaka?
Are you two patners?
I dont know this...
Wine itakufaa?
unaibwa.
Sawa kabisa usisahau na kitumbua usiku napenda kunywa chai. Utakunywa Zanzi, jack Daniel au amarula?
Are you two patners?
I dont know this...
Kitumbua umepata minakunywA Tayler towny porty