Siyo kweli mkuu.
Nitaaga siunanijua siondokagi bila kuaga
haaah mnafanya hadi meeting za usiku, unategemea nini?
Asante sana, najua ni cha moto, kwakutilia umuhimu siendi ofisini naumwa ati leo.
Ni kwasababu ya majukumu ya mchana hakuna nafasi! Pia usiku joto linapungua.
Niko karibu sana ujue,
Fanya hivyo haraka. Mi natoka mchana nina muda wa kujiandaa
sasa mbona mnaongelea tena vitu vya moto kama mnakwepa joto mchana?
Najua mkuu uko maeneo haya haya nakuomba usitie hofu washa labtop uendelee na majukumu huyu Yuko ktk mikono salama.
Thank you sweetyheart, let me do some work here. Talk to you later.
Nakupenda sana mpenzi wangu.
Du imekula kwangu! Basi kesho aga unaenda kazini kisha usiende nitakuwepo home nakusubiri.