sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
Honey faith please hebu muhurumie Rich pol uwe naye, kijana kahangaika sana sana, anaingilia mpk ndoa za watu. Mimi alikuwaga jenereta langu zamani sana kwa mapenzi niliyompa akawa hasikii haambiwi juu yangu.
Ila baada ya kuona kaniganda sana na ndoa yangu kunusurika kuvunjika nikampiga chini.
Sasa tangu hapo anahaha tu.
Jaribu kumfikiria kijana ni rafiki yangu wa ukweli ni mtu mzuri hana matatizo anajali mpe nafasi atulie,anapigwa na jua mpaka anapauka muangalie kwa jicho la tatu naamini atakufanya uifurahie dunia ya mahabaHahahaha ngoja nitakufikiria
Huwezi ukakausha mbona hiyo inaonekana kabisa ila alikuomba msamaha kwamba anaacha michepuo na kubaki njia kuu i hope ulimsameheNashindwa kujifanya sijaiona!
Dah pole sana ndugu yangu,jitahidi kumbembeleza mtoto umchukue huyo ameshalegea maliziaHoney siyo kama unavyofikiria, ninaposema huduma kanitelekeza bila hata kunisaidia nipate mke, na aliahidi kunisaidia nikuoe, napata taabu sana sina mke mwenzangu Daudi1 ameoa juzi na ameturia, naomba nikuoe honey.
Nashindwa kujifanya sijaiona!
Dah pole sana ndugu yangu,jitahidi kumbembeleza mtoto umchukue huyo ameshalegea malizia
Hahahaha ngoja nitakufikiria
Mamie mie namuogopa maana namuona ni penda penda ataniliza jamani maana kila mwanaume humu ana kesi nae jamani naogopa nisije kufyatuliwa na mie
Haya poleeee. Usijali Honey faith atakuwa wako tu. Ila usijefanya michepuko, sababu katulia sana mrembo wa watu.
Nashindwa kujifanya sijaiona!
tatizo hujui kutongoza. angaika sana, ukichoka utasaidiwa,
Fanya mambo kaka si unaona mimi nimeadimika kwenye huu mjengo wa kutongozanaKweli ndugu yangu nataka na mimi niturie kama maji ya mtungi.
Ona unajiuma uma hapa sasa,bora ulimuacha maana ungetafuta mbelekoHooooooney alikuwa ananifuatilia tu ili awe jenereta kipindi haupo, ila nilimkataa siwezi nikakusaliti si unajua navyokupenda sana?
Mpe hints mkuu jamaa anapata tabu ujue,ukiwa kama mwenyekiti wa huu mjengotatizo hujui kutongoza. angaika sana, ukichoka utasaidiwa,
Fanya mambo kaka si unaona mimi nimeadimika kwenye huu mjengo wa kutongozana
UmeonaeeeeYaani mimi nikioa tu sitaonekana Humu tena, naona siku hizi muda mwingi uko chumbani na shemeji.
tatizo hujui kutongoza. angaika sana, ukichoka utasaidiwa,
Ona unajiuma uma hapa sasa,bora ulimuacha maana ungetafuta mbeleko
Nakuahidi honey sitakuumiza, mimi najua sana kupenda! Nakupa guarantee.