ha ha ha nakumbuka last time tulikutana kwenye ile news yako ya fumanizi.
Ile issue kaka ilikuwa ngumu kusuruhisha, maana ilikuwa na mitego ndani, nashukuru nimeyashinda majaribu.
nalinda ndoa mkuu mambo mengi tuvumiliane tu
naomba mnipe japo uemc
anyone here tutotongozane!!!!
Ngoja nitoke hili jukwaa, litaniharibia malengo yangu!
Kweli Linda ndoa, mchepuko noma! Nitakuja kuwatembelea huko.