Naona anawafanyia promotion,kuna namba pia za wasanii hao hao wagawa vitumbua zinapita huko PM
kumbe zile ni namba za wasanii? mh ilinichukua muda kweli kuzitambua na kutambua kilichoandikwa
Ndiyo mkuu unaweza ukajitwalia mmoja naona wako sokoni ila naona kama vitumbua vyao vinamchanga maana hawajui kuvifunikakumbe zile ni namba za wasanii? mh ilinichukua muda kweli kuzitambua na kutambua kilichoandikwa
ha ha ha kuachana???kwetu hili neno msamiati bado....
usiangaike kunisubiri pembeni wewe endelea tuu na safari yako
siyo kwamba sijaoa, nina mke wangu anaeitwa 'Valentina'
nafahamu hilo ndo mana nikakuambia endelea na safari
we are n parallel line ni vigumu kukutana ...parallel line never meet
uran pole sana mkuu, alikuwa ananisubiri mimi, ndio kashanipata nami nimepatikanahuyu ICHANA niliwahi kumtongoza akaninyima asee
Nashukuru sana mpenzi ICHANA kwa kunipendastill nilikuwa natafuta RYT MAN aliyeubwa wa ajili yngu ambaye ni Mokoyo
Mkuu uran kwanini nimuache mpenzi ninayempenda?my ICHANA, akikuacha utanikuta kwa pembeni
siyo kwamba sijaoa, nina mke wangu anaeitwa 'Valentina'
noo..
i love my 'Valentina' so much..
and i love u too.
ICHANA huwa napata safari nyingi sana za south,
sasa my wife dont prefer much to travel, ndiyo maana i choose you to join me in my kularing good time.
i hope my wife will be comfortable with this, ndiyo maana nimekuchagua wewe . she suggest u though
ohhh... mis u too, how have u been?
no, Mokoyo i love the woman ( ICHANA)not to marry, but for pleasure..
woman of my life is only 'Valentina'..
ichana ni kwa ajili ya kampani za safari tu..