ulifanya hivi hivi kwa wakati namwanza huyu mke wangu kipenzi 'Valentina' sasa unarudia kwa ICHANA
si nshakuambia kuwa nakupenda so?
accept it now.
regardless ur married to mokoyo
stop stop stop your bad habit uranno, Mokoyo i love the woman ( ICHANA)not to marry, but for pleasure..
woman of my life is only 'Valentina'..
ichana ni kwa ajili ya kampani za safari tu..
Boss embu nifanyie favour niletee mke wake ....
Eeh eeh!!huyu jamaa ana wengi mno sio wa kumwamini sana full michepuko.
Hujambo laki?
Nipo okey...
Sawa we bisha si utakuja tena pale mianzini
Mwanaume wa maisha yangu, nakupenda sana. Unanifanya nicheke kila siku, tabasamu haliishi usoni mwangu kwaajili yako.
Wewe ni zaidi ya mwanaume kwangu, sina neno tofauti la kukwambia uelewe.
Wewe pekee ndio mkweli, mwenye mapenzi ya dhati. Naenjoy zaidi ya unavyojua, NAKUPENDA SANA.
sungura1980
Shemeji yangu Mokoyo, mimi mzima kabisa, na mume wangu hajambo.
Hongera sana kwa kuwa na mke mrembo kiasi hiko. Bahati nzuri tunafahamiana japo si sana ila kwasasa tutakuwa karibu zaidi.
Ichana mamii nipo hapa muda wowote ukinihitaji. Mokoyo na mume wangu Sungura1980 ni ndugu kabisa, kwahiyo siai ni wake wenza kwa mdogo na mkubwa.
Nawatakia ndoa yenye amani na upendo.
Mokoyo