Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima


Nashukuru sana shem wangu ni kweli kama kupenda mnajua uzuri wangu, furaha na tabasamu vyoote ni kwasababu ya kakako...nampenda kwa moyo wangu wooote na akili Yang.nashukuru kumpata mke mweza aliyenipokea kwa roho safi..
 
Last edited by a moderator:
Kwani ndugu zako wote anawajua? mwambie ni Mjomba wako kwa mama mdogo tumbo mjoa na bibi mkubwa ambaye ndiyo mama wa Baba mkubwa tumbo moja na shangazi ambae ndiye mama wa mdogo wako wa mwisho.

Aksante mkuu Rich Pol
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana shem wangu ni kweli kama kupenda mnajua uzuri wangu, furaha na tabasamu vyoote ni kwasababu ya kakako...nampenda kwa moyo wangu wooote na akili Yang.nashukuru kumpata mke mweza aliyenipokea kwa roho safi..

Karibu sana shem wangu ICHANA!Kaka haishi kukutaja kila mara hapa nyumbani,alitengewa chakula anakigawa mara mbili eti sahani nyingine ni ya kwako,na chai hivo hivo!Hata kwenye gari yake hivyo hivyo siti ya mbele ameweka kitambaa cheupe na maua eti ni siti ya ICHANA
 
Last edited by a moderator:
Kwani ndugu zako wote anawajua? mwambie ni Mjomba wako kwa mama mdogo tumbo mjoa na bibi mkubwa ambaye ndiyo mama wa Baba mkubwa tumbo moja na shangazi ambae ndiye mama wa mdogo wako wa mwisho.

Hahahahaaa huishi vituko wewe, yaani nikitaja tu ndugu watatu hapo na ruhusa nanyimwa.
 
Mungu wangu!!

hii ni hatari sana mpenzi wangu.
kuna mtu ananifanyia hujuma.
nani huyu?????

nakupenda 'Valentina' wangu. nakupenda sana, kila siku huwa nakuambia..
machoni hapa yananitoka nisomapo hayo maandishi juu ya ICHANA...
kuna mtu tu! anataka kuniharibia penzi letu hny.
usiwasikilize kabisa..
na huyo mtu aliyehuck akaunti yangu na kuanza kumtongoza mke wa Mokoyo kwa jina langu ashitakiwe mazima.
 
Last edited by a moderator:
Wewe usijali akisinzia tu nijulishe nakuja fasta najuwa anapenda kulala mapema utafurahi mwenyewe.

Unataka ndoa iishe muda huu kwa kweli, hatolala muda huu. Nimekumbatiwa hapa hata nikijisogeza anashtuka. Pole
 
Hahahahaaa huishi vituko wewe, yaani nikitaja tu ndugu watatu hapo na ruhusa nanyimwa.

Yaani ukimwambia kama nilivyokuambia hachomoi, ila ukirudi urudi na kitu anachokipenda, atafurahi sana na kuku hug.
 
Unataka ndoa iishe muda huu kwa kweli, hatolala muda huu. Nimekumbatiwa hapa hata nikijisogeza anashtuka. Pole

Mimi leo nakaza mpaka kieleweke atalala tu we kaa tu macho uwe unamchora.
 
Hapana punguza hasira Ukibaki huko huko atakuletea michepuko..mruhusu arudi akueleze kwa nini anafanya haya...
Mkanye asirudie kwa maana pangechimbika hapa Leo mie mke wa mtu

habari yako ICHANA?
samahani kwa yote yaliyokupata kwa jina langu.
huyo alikuwa si mimi.
mimi halisi ndiyo huyu ninaeandika hapa sasa
hivi,

sijawahi kuwaza kumsaliti mke wangu kipenzi 'Valentina' ninampenda kama ninavyoipenda nafsi
yangu.
she is my everything.
niombee pia kwa shemeji Mokoyo
kwa kukiswakiswa kwa wewe.

nitaomba kuundwe tume huru ya kuchunguza, jambo hili kwa ukaribu..
 
Last edited by a moderator:
Shemeji yangu Uran, umemuudhi sana shost wangu. Mwache apumzike, kesho utamweleza vizuri itabidi tufanye kikao kwa kesho.

Kwani Kibo10 anataka akuchukue akakufanye nini usiku huu na hali hii ya hewa?
 
Last edited by a moderator:
Kwani Kibo10 anataka akuchukue akakufanye nini usiku huu na hali hii ya hewa?

Hata najua basi? Yeye anasema nikapunge tu upepo, ila sitaweza kutoka usiku huu mimi ni mke wa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…