Shemeji mi hapo nimeshadadia nini jamani? Nataka nimwone jamaa anavyojua kushusha mistari...π π
Walaaa hashadadii Chocs. Yaliyopo moyoni mwako anayajua,anachojaribu kufanya ni kurahisha tu u know wora i min!!
i love you so much babemy sweet uko poa wewe, mi niko vizuri sana
....I don't know...hahahahahaha
Usipende sana Pesa zakuja tu!!
kiwatengu wewe si ndo umenifundisha kupenda mipesa? kipindi kile unachepuka na mie au umesahau nimwite excel shahidii?:smile-big:π