Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

kipindi hiko shansarie alikuwa wapi?

khaaa we nawe kama mgeni vile kwenye hii post! shansarie alikua yupo humu humu na alikua katulia tuli, ndo maana nkamuonea huruma nkamwachie mme wake maana dada wa watu hakua na kidomodomo,, chezeiya charty weye utadeki bahariii!:wave::redface:
 
Napika chapati za maji jaman anaetaka aje muda wa chai huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…