Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
Napika chapati za maji jaman anaetaka aje muda wa chai huu
niko makini shem
mzima wewe usipotee sana
Ipo ya maziwa.
muage mkeo kwanza,unatoka kidogoo teh teh ndo uje sasa kaizer
Ivo atashtuka labda niseme nipo na magufuli kwen madaraja😱
nipo shem, nimeshikwa kimtindo lakini....!
basi tumia mbinu uwezavyo ila hakikisha twakutana! Cnt wait to see u!kaizerIvo atashtuka labda niseme nipo na magufuli kwen madaraja😱
Napika chapati za maji jaman anaetaka aje muda wa chai huu
khaaa we nawe kama mgeni vile kwenye hii post! shansarie alikua yupo humu humu na alikua katulia tuli, ndo maana nkamuonea huruma nkamwachie mme wake maana dada wa watu hakua na kidomodomo,, chezeiya charty weye utadeki bahariii!:wave::redface:
Nani kamuona mume wangu
Ipo ya maziwa.
usiadimike sana hivi we unamke kweli
utam au?
nionjeshe basi mtoto mzuri!!
ntanyonya mpaka kieleweke! lol.