Nimekuona mimi mbeya nisemeeeee???????
Mtoto usimuache huyo wa ukweli si unamuona majibu yake yasikukatishe tamaa ndo wanavyoanzaga haoEti eeee....
Mmh usimwambie mume wangu lakin
Hehee udhan basi utaaminika?
Mchepuko huoo unaingia line wenyewe. Nakuonea wivu....
Nimekuona mimi mbeya nisemeeeee???????
Hapana nadhani atakuwa amekoseababy ni kweli ama?
Unajitoa akili haujaona hapo juu?mbeya ipi mkuu?
do u know,
the beautiful one already born?
and that is my wife 'Valentina' the cutiest woman in this world..
umebugi men!! my wife hajawahi kuchepuka hata dakika 1.
Kashaona mwenyewe ila anajifanya amefumba machoHehee udhan basi utaaminika?
Heeeeh!! acha hizo, kubali wito kwanza
Sijui kanikimbia mkuu.....?! Hata jibu langu hajanipa hadi muda huu au uran anafanya fitina nini?!
Unajitoa akili haujaona hapo juu?
Naona kama vile anamtamani tamani Kiwatengu?! Au.....:what:
Hata mimi nakuonakwa my wife sisikii wala sioni.
baby ni kweli ama?