mbeya ipi mkuu?
do u know,
the beautiful one already born?
and that is my wife 'Valentina' the cutiest woman in this world..
Hapana nadhani atakuwa amekosea
Siwezi nikakusemea wakati...........................Nilikua nasubir useme umbea wako nikuzabe kibao cha pua
Siwezi nikakusemea wakati...........................
hawa ni ndugu, how comes amtamani?
wrong u are!!!
Nakupenda barafu wangu,malkia wangu Bantu lady
Nakupenda pia my prince handsome. I miss you so much. sungura1980
Dah,nilidhani ya kwangu hiyo toka kwa Dinazarde kumbe......lah 😱
Nakupenda pia my prince handsome. I miss you so much. sungura1980
Pole Fisherscom atakuja tu mrembo Dinazarde.
Ahsante mamii. Ukimuona huko aliko mwambie nateseka juu yake....usingizi sipati kabisa shem....lah!
nakuona mkuu, dina kagoma kuja ati..
Hahahaah.....!! Haya kila la heri.NIPO SINGLE JAMANIiiiiiii mbona hiv lakini ajitokeze ma msapu sichagui kabila wala dini ila awe anapenda sirikal3 tu Nawasilisha
ndo style gan ya kutafta mchumba hiyo,ebu mtafte excel akufundshe kutia soundNIPO SINGLE JAMANIiiiiiii mbona hiv lakini ajitokeze ma msapu sichagui kabila wala dini ila awe anapenda sirikal3 tu Nawasilisha