weee ushindwe unashituka nini nitakumafia ohoo look very..
ndiyo lugha gani hiyo?
Hee jamani we mwanamke ujue mwenzio ninakaugonjwa,taratibu jamani lol
kwanini unakua mkorofi kati unajijua mgonjwa?
Mimi huyo! Aaa unansingizia asee
kweliee leo nakusingizia, nitakukamata tu ngoja nitege kamera zangu.
we unaingilia eeh.. nitakushtaki kwa mume wako
Wee ishia hapohapo
Huhuhuuu...
akiendelea ageuziwe kesi aone anavyokamatwa ug...n
utaona
Jamani mbona naona sawasawa,lol
enheee si unaona sawasawa ndomana unaona na visivyotakiwa. Sasa ntakukamulia ndimu hayo majicho yako.
We ntakusemelea ujue
kwa nani sasa?
kwa mumeo au mumewe?