Linda ndoa yako kwa gharama zote[/QUOTE]
nimejiandaa mkuu...kimwili na kizana...
Hapo hata mfitini akiona pi**chu inajaa uzito
Hapo hata mfitini akiona pi**chu inajaa uzito
tunafungua bucha .....kazi kwisha...
usiniharibie.....
mi wa kudumu kila siku kwny rokoo
nipo,wa ubani tu ajitokeze na awe tayari
kwa makonde akileta unyambisi!!
Mh naona anaongea kinyambisi kweli kweli....
Hapa kila kitu kitaenda sawa as kinasimamiwa na wazee wa kazi.....
Hapa kila kitu kitaenda sawa as kinasimamiwa na wazee wa kazi.....
tunafungua bucha .....kazi kwisha...
Mi ninakibanda cha babantilie
Nafurahi kuona watu wanapendana
Mi ninakibanda cha babantilie
ntakuletea nyama za ugoko wote ntaowashika ugoni utengenezee supu ya makongoro
ntakuletea nyama za ugoko wote ntaowashika ugoni utengenezee supu ya makongoro
Utawaongezea uwezo wa kukimbia