Shikamoo mom miss you thanaaaaaa....
Marhaba my daughter hebu mwambie mkwe anirushie ka m kama umenimisi
Hahaaaa mom umenifurahisha, namwambia me nawe tena...
hivi wewe yule mumeo alienda wapi?
ushaenda kuripoti hata polisi kwa ajili ya upepelezi?
Kwani hujui niko safari na mumeo?
Uuuuuuh moyo wangu mie.......ivi mmeo alikua mkimbizi nini?? Ukabaki unalia na moyoooooooo.....
Hah hah haaa we acha tu mwenzangu,nahis amekumbwa na ile oparation
Umepunguza maombi best sio bure.
Mwee hapa nasubiri Bwana ajibu maombi!
This foolishness is still going on? SMFH!
Hahahah....foolishness??
Hahahah....foolishness??
Hahahah....foolishness??
That's right. It's tomfoolery!
Habari yawewe!
Safi.
Za kwako?