Itakuwa nzuri zaidi ukiacha kumpa presha binti yangu
Hahaaa usikonde
Hahahaaaaaaa kazana atajibu tu.
Halafu nataka nikutume
ushakuwa msahaulifu kupitiliza.
nahusikaje na upotevu wa mumeo?
wapi tena????
Zangu ni njema nashkuru!
Nami nashukuru kusikia zi njema!
Wikendi inasemaje...?
Wewe look very! Mke wangu sio msahaulifuushakuwa msahaulifu kupitiliza.
Sasa ni kwamba.... Ebu sogea kwanza uku nikupe umbea vizuri
Wewe look very! Mke wangu sio msahaulifu