Usijali mupenzi wangeeeee
Wewe ni kiboko yangu ....lol!
Huu mchèpuko umempata mchepukaji......
We bibi weeeeee mtumishi wa mungu yule naogopaaa tena Mme wangu asione hapa wanitafutia matatizo. Au mtume kiwatengu ndo mtalaam wa haya mambo shost.
hapana naomba uniepushe na ukuwadi.
to 'Valentina' not.
namjua mume wake uran, i real know him
ntakureport walah...
Thanx 4 being mine
Your welcome dia!
Natumaini humu ndani wote wazima, nawamiss sana sana. Siku hizi ubusy na mume wangu sungura1980 tunaanza familia sasa. Valentina nimepata salamu zako nakumiss sana best. Salamu kwa mumeo.
Salaamu kwa kiwatengu, shansarie na wote humu.
Natumaini humu ndani wote wazima, nawamiss sana sana. Siku hizi ubusy na mume wangu sungura1980 tunaanza familia sasa. Valentina nimepata salamu zako nakumiss sana best. Salamu kwa mumeo.
Salaamu kwa kiwatengu, shansarie na wote humu.
paroko kuna vitu vingine visivyochepukiwa ujue.
huyu dada anayekufanyia mtongozo ni mke wa mtu
kaa mbali nae..
#justwarning ..
ua welcome my dear just wait and seehow does it work here? Who's with who in the zoo?
Who are the most eligible bachelors left in the game?
paroko kuna vitu vingine visivyochepukiwa ujue.
huyu dada anayekufanyia mtongozo ni mke wa mtu
kaa mbali nae..
#justwarning ..
how does it work here? Who's with who in the zoo?
Who are the most eligible bachelors left in the game?
how does it work here? Who's with who in the zoo?
Who are the most eligible bachelors left in the game?