Kajinyonge .....!!
the page will not be enough, but few of them are-;
'Valentina'
Munkari
kan'tangaze
tinna cute.......
Kwa maandishi haya, uparoko bye bye..
usitamani mke wa jirani yako, wala chochote alichonacho.
Mpaka sasa particles za uparoko zimebaki 30%
Huku ni kuua... 😡😡
Na watu wote waseme amen....
Nitakupenda hadi siku ukamilifu wa nyakati ....!!
I give my heart to u.... "Be careful with my heart"
Naona Chama Cha Michepuko (CCM) kinavamia Madhabahu.....
Ha haaaa we mwanamke wanifurahisha....
Naona Chama Cha Michepuko (CCM) kinavamia Madhabahu.....
Michepukoooooo hatarii
Ninyi mwakerwa na nini mimi kupendwa na yeye? Lol
Hajakerwa mtu bibi, me nakupongeza kwa kazi yako nzuriiii...