Darling nmekumiss,
Muwache tuu abadilishe manake hiyo Id yake ina gundu
What are you waiting for.....???????
I miss u back swirry...
Huna mdogo wako hapo ukampatia...
Oooh thank youu my one&only:*:*:*
Muwache tuu abadilishe manake hiyo Id yake ina gundu
Naogopa atamuumiza,simwamini kabisa
Naogopa atamuumiza,simwamini kabisa
Ngoja nimtafutie nunda waumizane....
ndo maana nimekwambia unanipa gundu y unibanie hata mdogo wako
Wacha maneno yako
Yero huyo hapo anataka mutu ya kutembea nae
Hebu do ze nid fuli bana .......!!!!!!!!!
Haya me nakusubilia hapa hapa ila niambie utakuja saa ngapi?
Dada dhambi hvo me sina gundu nahsi ww ndo unanipa gundu ushindweeeeee
Nasubiria majibu ...!!!!!!!!!!!!
my babe wangu......my ozbend..........babe sosoliso.............am lav yuu!!!!!! am kiss yuu..............mwaah mwaahhh mekumithiiiiiii.........ila kuna jambo hujanijibu................