aaaah bana babe sio ileeee........tatizo unasahau sana...........punguza basi zile habari alizokushutumu Ruttashobolwa!
Huyo anakufaa kabisa mkuu..
Ngoja aje...
yah..si unajua mambo ya kushinda PM?
Beib c ile ya 25..?
Kwa kuwa wewe ni kiunganishi kikuu humu ndani tafadhali unganisha hii mutu lara 1+@binamutz
ah ah................sio iyooooo bana!?
hiviiiii............upo job kweli wewe?!?!?
jawilat hahahaha sitaki na ham ya kuchunwa na mdogo wako
umezidisha kidogo..siko peke yangu ujue
Sie familia yetu tumefunzwa kutafuta sio kuchuna,wee nenda tuu kwa @lara1
Wewe ndie asali wa moyo wangu eeh,kwa dhiki nafaraja. Ataishia kula kwa macho tu,moyo wote upo kwako