duuuuh haya bwana nimeshindwa
anataka kunichanganyia watu huyu mpenzi wangu
basi kama hujui tulia kuna jopo la watu kibao hapa..
afu kunakitu nimekuambia ufanye..niambie kama umeelewa.
my baby...mwaaaaaaaaah
usishindwe mkuu raha ya mapenzi kupendana kama mimi na my 'Valentina' tunavyopendana kwa dhati
Ahaaa.. nipo mie asa c nimeona kimya tena.. halafu ulivyotaja kcb ya kuleee ndo nikajua hamna ki2 tena beib..
me napita tu
mnatimiza agizo la kuujaza ulimwengu.