naona kama vile sikumtongoza my 'Valentina' vizuri.. njoo huku mpenzi wangu tuudhihirishie umma!!
Hizi picha jama jama jamaaa wengine tuko kwenye ukame ati
hee na wewe ndoa yako umeichoka mapema sana mbona?
Umma peke yake? Si ungeongezea na kijiko!
Maparoko wanawapunja utamu
Umeona ee sr hatongozwi msubiri baba paroko akutengeneze kilemba
naunga hoja mkono, tena asisahau mimi na my 'Valentina' kuwa kwenye list
Yani usiwe na wasi wasi Eshy... Huu mwaka kwa spidi ya risasi tutahakikisha kuwa pepo la u-single linamuacha kila mwana chit chat...
mh! sa mi c nikajua cc kila mtu ana mtuwe!
nitakujengea nyumba kubwa, self na nitakuwekea na king'amuzi
Atapendwa na paroko
mh! sa mi c nikajua cc kila mtu ana mtuwe!
Kama una mtuwo mtaje hapa hapa Eshy... ukishangaa tutamlebo single alafu utaona atakavyopiganiwa...
njoo PM nikuelekeze jinsi ya kuquote hapa hadharani wife ataleta shida...
kwani unamwogopa?
ooooh my loveeeee
Hizi picha jama jama jamaaa wengine tuko kwenye ukame ati