Jaman me mwenzenu White girl! ataniua kwakweli.Mfikishieni ujumbe NAMPENDA NAMPENDAJEEEEEEE!,nitajitahidi japo tukaishi Zambia kwani bongo majungu.NAKUPENDA White girl plz.
Huyo anachumba maalum ndani ya mtima wangu....ukitaka kujua kwanini nyoka hana miguu nikuone na bilionea wangu!!!
We binamutz wasema wapita wakati umekaa tena wala kabisa na maji pembeni.
Waenda wap tena?
Una mkwara neighbour
pamenishinda na mapenz yenu naona wvu
Usikubali kushindwa kirahisi bana,pigana hadi tone la mwisho
niko byeeeeeeeeeee mamito
kiwatengu,
Mtaweza kuujaza ulimwengu?
nilipita tu humu yaliyonikuta mwanzo hatar nimepalamia vtu nisivoviweza