Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
Huo uchapaji wa hiyo bakora hatari sn aisee mamaafacebook IINini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lolHuo uchapaji wa hiyo bakora hatari sn aisee mamaafacebook II
Karibu nguruka dota.Ha ha mwehu wewe
Ha ha ahsante sana mweeeKaribu nguruka dota.
Inaonekana kama vile ushakata tamaa mkuu. Piga moyo konde utapata tuuMadem Wa Jf Nawataman Sana
Sijui Niwapateje?
mmmh one day yes.....!
FisherscomInaonekana kama vile ushakata tamaa mkuu. Piga moyo konde utapata tuu
Bado niko mawindoni mkuu...sijapata bado na wala sikati tamaa
Mi sijui kuacha wala kuachwa. Niko tayari kushea na ndugu zangu kuliko kuacha/chwa.
Kushea Na wewe itakuwa kukukose heshima Babu.!Mi sijui kuacha wala kuachwa. Niko tayari kushea na ndugu zangu kuliko kuacha/chwa.
Hahahahaah humu zinazovunjika sahau kuhusu kutangazwa maana zinachukuliwa juu kwa juu.!Mngekuwa mnatoa updates kila mwaka zilizovunjika/mpya ili watu wachangamkie fursa.
Tatizo vijana hawana adabu... hamna namna tena.Kushea Na wewe itakuwa kukukose heshima Babu.!
Shikamoo babu.Tatizo vijana hawana adabu... hamna namna tena.
Hivi [HASHTAG]#misschaga[/HASHTAG] anatoka na nani?Hahahahaah humu zinazovunjika sahau kuhusu kutangazwa maana zinachukuliwa juu kwa juu.!
TakiiiiShikamoo babu.
Aaah babu!! Nini tena?Takiiii
Teh TehMi sijui kuacha wala kuachwa. Niko tayari kushea na ndugu zangu kuliko kuacha/chwa.