kaa mbali mzeeHivi [HASHTAG]#misschaga[/HASHTAG] anatoka na nani?
Nataka kutangaza nia mapema.
Babu nambie ukwapi nijeTatizo vijana hawana adabu... hamna namna tena.
mambo vipiBabu nambie ukwapi nije
Geuka nyuma niko hapa....Babu nambie ukwapi nije
Poa tembosa sikukuu umekula na nanimambo vipi
We nyuma yangu unafanya nini?Geuka nyuma niko hapa....
Ninae mmoja tu.Yule tapel achana naye mi nakupenda kwa dhati
Unanipenda wakati ulinikimbia? Ndio mapenzi gani hayo?Yule tapel achana naye mi nakupenda kwa dhati
Hapana my mbona nlikuambia tatizo ni nn Lakin please upendo wangu kwako haujapungua hata kidogoUnanipenda wakati ulinikimbia? Ndio mapenzi gani hayo?
Too bad!!
Hapana my mbona nlikuambia tatizo ni nn Lakin please upendo wangu kwako haujapungua hata kidogo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Please usinifanyie hivo atiToo bad!!
Eti MO11 unaruhusu mitara?
I am sory wax, si unajua ninacho kimoja tu!!
hapana
kijana kuwa makini