The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Ha ha ha ngoja nikwitie babe SNgoja nisubiri kutongozwa na warembo hapa alfi ning'ate kucha na kuringa
Hivi mamilo ujue mimi nakulove ile mbaya aiseeh. Afadhali umekuja hapaWatu skuizi ni mwendo wa body language tuu ,,,,,ngoja waje lakini hawakosekani
Huyu wangu niachie jooWanakuja hakika utampata ganja boy
Mwambie sasa yakumoyoHuyu wangu niachie joo
Uzuri upi sasaJamani aje hata pm mdada mzur tulisongeshe weekend ndefu mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nisubiri kutongozwa na warembo hapa alfi ning'ate kucha na kuringa
Mkuu nani huyo nikusaidieMimi naona soni kumwambia!!!!! aaa ee iii ahhaa Napata pozi nashikwa na kigugumiziiii in Sir Nature's voice
Hehehe bora hata na Mimi niwe mama laiguanan [emoji56] [emoji56]Hivi mamilo ujue mimi nakulove ile mbaya aiseeh. Afadhali umekuja hapa
Hapa jukwaani huna ,,,unaye wap mkuu?? [emoji2] [emoji2]Hapa Jukwaani sina Mpenzi ila nahitaji sana
Kama kuna mdada/ mwanamama mwenye uhitaji kama wa kwangu aje tuyajenge
Tumeambiana tayarii johMwambie sasa yakumoyo
siku hizi watu wanabeba na kuweka ndani tu, lolAisee kutongozana ilikuwa zamani
Wewe ndiye utakuwa mama wa boma. Halafu maleiguanan tunawivu hasa mimi usichekee tena na malayoni wa JF.Hehehe bora hata na Mimi niwe mama laiguanan [emoji56] [emoji56]
Warembo bado hawakuji tu kuniimbisha mbona?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do boo ,,,ntaacha kuanzia leoWewe ndiye utakuwa mama wa boma. Halafu maleiguanan tunawivu hasa mimi usichekee tena na malayoni wa JF.
Sema unanilove pia basi tumix hizi bailojia zetu .
Wow that's my bae. I'll buy you hyundai nikiuza ng'ombeI do boo ,,,ntaacha kuanzia leo
Daaah it sounds so fantastic [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe ndiye utakuwa mama wa boma. Halafu maleiguanan tunawivu hasa mimi usichekee tena na malayoni wa JF.
Sema unanilove pia basi tumix hizi bailojia zetu .
I do boo ,,,ntaacha kuanzia leo
Wow that's my bae. I'll buy you hyundai nikiuza ng'ombe
Mtoa mada asante kwa uzi .
Chukua chako mapema Joh ,,si tushakuana lolDaaah it sounds so fantastic [emoji23] [emoji23] [emoji23]