happymwashi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 980
- 846
Nakutakaok poa nitarudi
Mwandiko mzuri sio lazima, we andika tu. Vingine tutaona!Huku ni avatar language mwandiko yaani !! Watu wanapenda mwandiko
HahaaaaNataka wa kuchat nae mengine tutayajenga hapo hapo
Lakini kiungo pendwa si wanacho mkuu?!Ubaya wa humu,
Wanawake ni wa kutafuta kwa tochi,na kama wapo baas ni mimamaaa iliyoolewa na mitoto juu,
Sasa kuwa makini usije tongoza njemba.
Nimeshakuja mkuu tupige wote iyo ganja.Watu skuizi ni mwendo wa body language tuu ,,,,,ngoja waje lakini hawakosekani
Haya nimekuja, niambie sasaNakutaka
Hahahahahahahahahahahahhahaahahahhahahahahhahahahahahaha eti tupige wote hiyo ganja!!!!Nimeshakuja mkuu tupige wote iyo ganja.
Du! Naona umeamua kuuma jongoo kwa meno!Pande zp?km VP tuwacliane hapa bc 0754529522
Joseverest umetakwa hukuNakutaka
Sema umtake nikuunganishe naeSasa mbona hawanitag?
Sema umtakaye nikusogezeeYuko wapi wa kunipenda mm?
Ushampata auPande zp?km VP tuwacliane hapa bc 0754529522
Kama njemba unaunga kifurushi cha mtandao pendwaKwa hi ID za humu kutongoza ya naweza kutokea Yale ya mtwara, miezi hujabandua alafu unakuja kulalamika humu umetongoza njemba au choko baunsa
Ebu mweleze ya kumoyo