Mawindo naona swala anawinda binadamu sasa mkuu nitashangaa leo tena ukikosa kitoeo cha jioni.Haya nimekuja, niambie sasa
Mwambie afunguke hahaha...Joseverest umetakwa huku
kwenye avatar nakubaliana na weweHuku ni avatar language mwandiko yaani !! Watu wanapenda mwandiko
Ushafika huku Mara hiiMawindo naona swala anawinda binadamu sasa mkuu nitashangaa leo tena ukikosa kitoeo cha jioni.
Lile windo la siku ile vipi mkuu kule kwenye uzi wa kulike??? aisee ukimuona mwambie nampa HI sana mkuuMawindo naona swala anawinda binadamu sasa mkuu nitashangaa leo tena ukikosa kitoeo cha jioni.
Nipo nilikuwa nakusubiri mama maana uwanja wetu huu tujimwageUshafika huku Mara hii
Yaan niweke hadharan wanitakia mema kwelish ngapi unataka mtoto weka namba yako hapo upewe pesa
Mpesa yangu itune sasaSema chochote unachotaka hapa utapata
Nipe basii[emoji102]
Wanaume wengi ukiwaomba pesa maneno mengi balaa. Page ya 27 kampesa bado kepesi.Mpesa yangu itune sasa
Huu uzi unatuhusu kabisa nitongoze au nikutongoze weweNipo nilikuwa nakusubiri mama maana uwanja wetu huu tujimwage
Kwa kuwa kila mtu anataka kumtongoza mwenzie.Huu uzi unatuhusu kabisa nitongoze au nikutongoze wewe
Njoo PMYaan niweke hadharan wanitakia mema kweli
Kuna watu wana bahatiPenda penda Mondray! Tatizo lako uvumilivu zero...
Kwa wiki unatongoza wadada saba... Tena hadharani!!! Me maplay boy wa hivyo siwataki!
Bei gani unataka mamaMpesa yangu itune sasa
Oooh Mungu wangu!unajua kodi inaisha tarehe kumi upo tayari kunipenda kwenye shida na raha?Kwa kuwa kila mtu anataka kumtongoza mwenzie.
Hapa inabidi tuanze mahabati tu mama sina mengi nakupenda