The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Ha ha ha we kaka mubayaAngalia usiharibu appointment amenipromise utamu hapa sammyluv wangu
Bado tunatongozana mkuuHivi bado watu wanatongozana siku hizi?
sawa ngoja nikijaUtamkuta tu kule
hahaha malkia yeyote yule atakaa kwenye haka kafigo kangu mkuuSema nani unamtaka nikusogezee
Dah mkuu nimemtafuta ila simwoni kabsaUmempata Shunie jamani? Mlete mwambie weekend imeanza
Naomba nikukabize mtoto Numbisahahaha malkia yeyote yule atakaa kwenye haka kafigo kangu mkuu
Bila woga kabisaaaa?Basi nijisogeze kwako
Sijaguna nimeitikaHuo mguno v.i.p.i.??
Nahisi hapa kuna kutofautiana maelewanoAnamfaham vizuri
Nidhamu ya uoga sina mamaBila woga kabisaaaa?
Finally [emoji23] [emoji23]Hello
Huu ndo mtego MkuuMmmmh sasa utajuaje ni femalee
Kwanini unalia?Finally [emoji23] [emoji23]
anhaa sawa aseeeSijaguna nimeitika