Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
πIliresti in pisi sasa hivi nitakuja na ingine matata sanaaaa subiri nipo naangalia angalia tu.
What now?π
You, silly π goose!What now?
Haya bana.You, silly π goose!
nilikua nasubiri hii text πKwahiyo sisi tulio single humu inakuwaje?
Akina nani?Mnabaki hapa hapa ama?
Wewe na Nyani NgabuAkina nani?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]nilikua nasubiri hii text [emoji39]
Huh? What?Wewe na Nyani Ngabu
Ndio huyu m'badala.?That Gentleman njoo uzurure mitaa hii
Shukrani mkuu, ndiyo unaishi mitaa hii?? Nyumba ipi??That Gentleman njoo uzurure mitaa hii
Huenda akawa ππNdio huyu m'badala.?
Basi Mimi nilichelewa kuujua huu Uzi.Ila Nashukuru kuuona tu.Hapo hapo nikakutana na mtu ambaye hakika inaonekana tutaenda sawa.Hebu Espy Naomba tufungue ukurasa m1 Mimi na wewe ukinipa ridhaa ya kunipokea .Nami kwa dhati kabisa ya moyo wangu naahidi kua nawe kwa Hali.Ni hayo tu kwa SasaKwahiyo sisi tulio single humu inakuwaje?
SwadaktaaaHuenda akawa ππ
Asante, nipoo mrembo wanguUpo we mtu, huku nimeibukia wapi jamani au Ni huu usingizi
Nimefurahi kukuona