Aaah thubutuuuu! Ikipitia kwako siendi, utakwenda wewe.Nauli itapitia kwangu.
Loh.
Hahahaa.Competition on the race...kuna mtu anashusha mijiwe ya haja hapa kwa huyu mrembo.
Huyu ndugu yangu Eli, anasema na wewe. 😊😊
Hahahaa. Hiyo hainihusu kabisa.Hujui kile kipengele cha friends with benefit kimekuwa updated??
Mshenga jitahidi nipate nauli bwana.Sakata la nauli linakaribia kuchukua sura mpya...i see
Wewe tuyamalize kwanza!!!Loh.
Kazi kweli kweli.
Aongee na kiwatengu amsevu.
Vipi ushaopoa au bado?Mdau mdau,
Mkuu nilikuwa sijapata muongozo, ila nina bahati mbaya sana... Nimezama PM kwa Karucee nikatega ndoano zangu za kutosha kisha nikajazia na nyimbo kali za malavidavi kutoka kwa msanii Don Nalimison lakini cha ajabu bibie anakuwa mgumu...Usiende PM mkuu utakiuka utaratibu.
njoo live, ukikwama unalainishiwa.
Lete story nakusikilizaWewe tuyamalize kwanza!!!
Nikaribishe kwa waziri mkuu niteme sumu😂😂Lete story nakusikiliza