Oooh poor Eli79[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]....
Jimbo limechukuliwa na Mkuu That Gentleman
Natangaza Ndoa kwa mara ya kwanza kati yenu, mwenye pingamizi la haki alilete ndani ya saa 32 kuanzia sasa.
Jamaa yangu wax, atakuja hapa. Kutoa testimony[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie sina tabia hiyo jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo hivyo madame, mi nimeshakuelewa π[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Kweli eeeh.Sio kwa commitment ile...
Siku hizi sijui kabanwa na nani, amepotea sana.Hivi yupo huyu mdau? Long time sijaona ile Avatar yake ikipita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Haya jamani kumekucha tena.
Labda alipumzika kidogo.Siku hizi sijui kabanwa na nani, amepotea sana.
Kwakweli, hebu tuletee hata story tuchangamke jamani, mambo ya humu nowadays full mvurugiko.Labda alipumzika kidogo.
Kuna sredi zinachoshaga mnooo
Will do..... Sometimes unaweza kuanza akili ikakataa kabisa.Kwakweli, hebu tuletee hata story tuchangamke jamani, mambo ya humu nowadays full mvurugiko.
Will do..... Sometimes unaweza kuanza akili ikakataa kabisa.
Nipe time kidogo.
Masaa yanazidi kwenda, mpaka sasa sijapokea pingamizi lolote juu yako na That gentlemanWill do..... Sometimes unaweza kuanza akili ikakataa kabisa.
Nipe time kidogo.
Hahaa. Ndo safi.Masaa yanazidi kwenda, mpaka sasa sijapokea pingamizi lolote juu yako na That gentleman
Sawa mama.Will do..... Sometimes unaweza kuanza akili ikakataa kabisa.
Nipe time kidogo.