my wife, usikasirike
Basi usinikasirishe my husband
Kama una mtuwo mtaje hapa hapa Eshy... ukishangaa tutamlebo single alafu utaona atakavyopiganiwa...
mi mgeni humu! bado nipo cngo!
Ndiyo mnahitajika hapa...usilalamike kuwa kila mtu ana mtuwe kuna guys kibao humu wako single....
Basi usijali... sasa hivi utaibua bonge la handful...
Here we go... Ladymasa sogea kipande hii
Nitakutunzia besti... nina experience ya miaka 20 kwenye hayo mambo