Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Upo na kina nani sasaπΉπΉπΉ kijana taratibu mimi na Wapare nilishafunga nao mahesabu
Huyo huyo, nimemwelewa kinoma hapa tunamgombania na admini kabisa, ila inshallah nitashinda ili jf wotr muone wivu. natabiri sisi ndio tutakuwa kapo yenye mvuto kwa miaka 3 mfululizo. Lamomy mimi nakuoendaaaaπππ Huyu huyu Lamomy au nimesoma vibaya bruh
Na maisha yangu πΉUpo na kina nani sasa
Weee! nyie ndio wale watuma kwenye namba hii.Huyo huyo, nimemwelewa kinoma hapa tunamgombania na admini kabisa, ila inshallah nitashinda ili jf wotr muone wivu. natabiri sisi ndio tutakuwa kapo yenye mvuto kwa miaka 3 mfululizo. Lamomy mimi nakuoendaaaa
Unajua nimepanga kabisa this year nivute jiko. na wewe ndiyeπΉπΉπΉ Bado hujanishawishi endelea kutema verse
Odo amefurahi sana Cc ephen_πππ
Vayolence hii, unatamani unipige ban dadeki ha ha haha ha ahahaWeee! nyie ndio wale watuma kwenye namba hii.
Lamomy nakutahadharisha mapema.
Hata usiponikubali mimi don't try hapa. π€£π€£π€£ utajutishwa
π€£ππππππUnajua nimepanga kabisa this year nivute jiko. na wewe ndiye
Welcome to my zoneNa maisha yangu πΉ
Umefurahi eeeh! sisi ndio people na tumekutana sasaπ€£ππππππ
Mungu akujaalie upate hitaji lako mkuu ππUmefurahi eeeh! sisi ndio people na tumekutana sasa
Na wewe tena? kwan ni huyu wangu tu mumemwona?Welcome to my zone
Ondoa shaka mkuu. Ushindi ni lazimaKaka shadow kesho game yetu na Simba SC tunatoboa ?
Kabisa kaka kesho mtu anapigwa kama ngomaOndoa shaka mkuu. Ushindi ni lazima
π€£πππππBraza, nitakuloga ufie kule mlimani π€£π€£π€£π€£