mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Niambie Eng,Nasemajeee igweeeeee!!
Thenkyuu mzee wa hall V.
Umetishaa sanaa!!
Upo mkuu.Hahaha Sumbai wewe mkorofi sana, muache bibie apumzike!!
Bff wangu ni simba nashangaa leo kawa mwananchi π€£π€£π€£Tangu lini
Mwambie apunguze πΉπΉπΉ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ba tamuu anakaba hadi golikipaa,
Wee huogopiiii? Lol
Wow ...Bff wangu ni simba nashangaa leo kawa mwananchi π€£π€£π€£
Yanga imemfurahisha sana itakuwa
Sikwenda uwanjani nilikuwa chimbo moja hv Lina vibe balaaaWananchiiiiiiiiiiii ππππ
Bff nimechoka jana nilikuwa uwanjani nimeshangilia mpk sauti imekauka πππ
Vipi jana hukwenda??
Siku zoteTangu lini
Bff usinambie? Nipe na mimi hilo chimbo linalo happen hapa nimetamani kutoka leo week end nikaweke shida chini.!!Sikwenda uwanjani nilikuwa chimbo moja hv Lina vibe balaaa
Lamami na Kantry siwaoni...Mkuu and 100 others unaijua ile kapo ya jayz na Beyonce ππ€£π€£π€£ππππππππ€£π€£π€£ππππππππππππππ kumbe ilikuwa ya kihuni jamaa alitengeneza mwenyewe
Matokeo nimeyapokea kwa mikono miwili, uhai ktk kikosi upo.Niambie Eng,
Pole Kwa matokeo
Aaaaah wee!! Ndo kwanza nataka aongezeee.Mwambie apunguze [emoji81][emoji81][emoji81]
Uwanjani ulipoenda hujaibiwa I phone yako bf?Bff usinambie? Nipe na mimi hilo chimbo linalo happen hapa nimetamani kutoka leo week end nikaweke shida chini.!!
Google translateNitafsirie mwenzakoπ
β β βMatokeo nimeyapokea kwa mikono miwili, uhai ktk kikosi upo.
Muhimu wachezaji wazoeane na kutengeneza perfect comboo.
Mbona ni hivii, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]