Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Katume kulee kulee bhanaa, huku hatutaki watu wakwaruanee.

Huu uzi ni ni heka heka za ubuyuu na uswazii Newzz!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimependa ubuyu wenu WA Jana..unakuja halafu unapotea ila utakuja πŸ˜‚πŸ˜‚ tuu inshallah
 
Siku hazigandi kwa kweli! Ilikuwa ni juzi tu tulikua tunasoma huu uzi sasa ni mwaka wa kumi!!!
 
Nimependa ubuyu wenu WA Jana..unakuja halafu unapotea ila utakuja [emoji23][emoji23] tuu inshallah
Dear!! Mbona ubuyuuu lainii vilee, afu codes nyepesiii, uzito unauletaa weyeeeeeh.

Changamkaa bhanaa, wee mjanjaa ujue, mambo madogo.kwako hayaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kwa kupandikiza, huu mwaka ntaitwa Mama, naye ba tamu ataitwa baba.

Mtoto tutakua nae, na tuta tamba naeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Treeena uduguu wangu mamkubwa nipo hapa wa kulea.!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Beba uwafunge wambea midomo, na ulivyo kisu uduguu wangu toto litakuwa zuri hilo. πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°

Nasemaje mamkubwa ninaye na natamba naye anayekataa akanye boga.!!
 
Em sema kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukweli ndo huo naanzaje kubeba watu siwajui hata wanafananaje km majini je?
Unataka wakaninyonye damu?
 
Watu na mam mkubwaaa waooo, weraaaaaaaah!!!
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…