πππ JF ina mambo uduguu nimeagiza popcorn πΏUbuyuuu tuko nao na tunatambaa nao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja waje kukufurahisha...Nampenda fake p
Warembo wote waje kwanguπNgoja waje kukufurahisha...
Kuna wahuni wanakulia timing waje wakulie timing... Utapakwa mafuta mzee..
Nishakuambia sasa... Walishakujua we ni kipendapenda unatongoza na wake za watu... Na style zako za u dc uchwara... Endelea utajikuta mtu kati wakutafune google....Warembo wote waje kwanguπ
Nawapenda sana
Kama depal anawaambia hivyo basi atakua anataka nimtongoze kweliπ
Lakini mm namtomgoza depal nimpeleke wapi. Depal si boya tu kama maboya wengineπππ
π΅οΈπ΅οΈSavageeNampenda fake pπ
Weekend iko njema?
Nawapenda warembo woteπNishakuambia sasa... Walishakujua we ni kipendapenda unatongoza na wake za watu... Na style zako za u dc uchwara... Endelea utajikuta mtu kati wakutafune google....
Huna lolote...Nawapenda warembo woteπ
Nitatumia nguvu zote na uchawi mkubwa kuwapata
Hawa wameletwa kwa ajili yangu
Basi mrembo, nimekuelewaKama hajawaambia?
Then u launched an unnecessary attack kwa depoππ. When are you going to say goodbye to this unhealthy drama.?
π΅οΈπ΅οΈSavagee
Unaiharibu weekend ndani JF
Walishakujua we ni kichwa maji...Basi mrembo, nimekuelewa
Ngoja nikavizie vocha za bure aisee, bando linakaribia kukata. Nikirudi hapa naanza upyaHuna lolote...
Warembo wote ni urithi wangu na nawapenda sanaπWalishakujua we ni kichwa maji...
Ndio maana anakuchana ukweli...
Hadi fake p amekuchana... We sema ulikuwa unamtaka depo akakukataa ndio ukaanza chuki juu yake... Huna lolote...Warembo wote ni urithi wangu na nawapenda sanaπ
Tulia hapa nikupelekee moto uniite daddy...Ngoja nikavizie vocha za bure aisee, bando linakaribia kukata. Nikirudi hapa naanza upya
Umeumbuka vibaya mzee... Hahahahhaa...Basi mrembo, nimekuelewa
Fake p muache aisee hana dhambiHadi fake p amekuchana... We sema ulikuwa unamtaka depo akakukataa ndio ukaanza chuki juu yake... Huna lolote...
Nitakosa vocha za bure huko aiseeTulia hapa nikupelekee moto uniite daddy...
Tuliza wenge, mm ni kichomiUmeumbuka vibaya mzee... Hahahahhaa...
Kichomi wapi wewe.... Unamtukana mdada wa watu pisi kali amekukosea nini... We ni huna akili toka kitambo wanakuchora tu... Usilazimishe mapenzi kama hakuelewi tuliza mshono...Tuliza wenge, mm ni kichomi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shem nimeona uwepo wako nakusalimia [emoji23][emoji23][emoji23]