mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Maziwa siku hizi hayakati sumu zina ubora shauri yako
weeee kuna watu noma wanajua kupeleleza kama me mwongo waambie wakupeleleze utashangaa
Hakuna kitu watu wengi tunatumia majina feki huku so sio rahisi
Tehe tehe,
hao hawatabiriki ww unaweza hudumia kumbe kuna kajamaa chuoni kanapewa bureeeeee
Ndomana unatafuta mwingine wr mkali
huo ndo ukweli na ndio jibu n nawaogopa kama ukimwi
Kina nani unawaogopa
Kina nani unawaogopa
wadada wa chuo
kuna MTU humu kashantishia maisha nakuogopaje sahz
Wanachuo
Hebu niambie
Kwani wana tatizo gani?
Kisa nn?
endelea tu....fanya mambo!
nakutaka....