sweetie dont do anything someone huck my account, wanapenda kutuona tukigombana..
nakupenda sana bby
Hahahahahaaa jitundike tule ubwabwa mke mwenzio huyo kwani ulikuwa haujui
kuna watu wanataka kunigombanisha na wife wangu.
....g'morning my dia.
Aaah! kumbe mlaini hivyo yaani sound ya kuhack account imekuingia.....hahahahaaaAfu wewe siyo mtu mzuri
safi safi, uko vizuri hapa akija kupasoma patamlegeza kabisa
Nahisi kuchanganyikiwa juu yako mama,kuhusu mimi nina urefu wa futi 5.6 kwa rangi ni mweusi wa kawaida,ni mcheshi napenda kuonea na watu kufurahi pamoja,kujituma ndo kauli mbiu yangu katika kila nifanyalo any ting you want to here from me? sema mama usiogope jamani nataka uwe wangu na niwe wako na uma utambue hilo pls usiniangushe
Huyu mrembo simuachi ameshanichanganya hapa nakesha hapa hapa namsubiri acha baridi linipige tu maana mchumia juani hulia kivulini ila mpaka awe ametengeneza hicho kivuli
Ooooh! jamani mama umeamka ooh thanks God kama umeamka salama ujue nimekesha kwa ajiri yako why unautesa moyo wangu namna hiyo plz don't let me down moyo unadunda kudu kudu.....haki ya mama ninakupenda sana trust mePole kwa kukesha, muda huu nilikuwa naota nahisi.
Sifa za ziada zipi nimekupa uhuru wa kuuliza lolote niko tayari kukueleza sitaki nikukose niulize lolote plzMorning. lazima uwe na sifa za ziada okay.
Sifa za ziada zipi nimekupa uhuru wa kuuliza lolote niko tayari kukueleza sitaki nikukose niulize lolote plz
Aaah! kumbe mlaini hivyo yaani sound ya kuhack account imekuingia.....hahahahaaa
Huyu kimwana lazima awe katika miliki yangu aisee.... nimejitoa mhanga kwa ajiri yakeNaona unakaribia kuopoa kimwana
Naona unakaribia kuopoa kimwana
Hongera sanaSasa nsipomuamini asali moyo wangu ntamwamini nani?
Usichelewe kuja nakungoja...
Afu ikidhibitika mmekubaliana huko parokiani, uniambie nifanye yangu hapo juu, kwenye uzi