kaka huyu Honey Faith hakutoa masharti alikimbia tu....hapana inabidi mchezo uanze mwanzo,
aisee inamaana kabanga na ujanja wake wote wa kwenye NBAA alishindwa kukulegeza?
niko poa sana..
sasa mmefikia wapi? nataka kufanya yangu hapo juu...
Kwa KE hairuhusiwi kabisa..
Utaharibu kila kitu aisee. Erickb52 huyu njoo umshauri huyu binti
Wawili wa nini tena wakati umesema nakutosha sema nimechelewa kuja kutoa taarifa hapa kwamba nimewini game acha bwana nijidai kukupataHahahahahahaaaa basi mshenga nimekuelewa. Usijeniwekea kikao bure
Fanya yako mkuu huyu tayari nimemtengenezea kiota ametulia tuuliiii alikuwa anasubiri nije kutoa mrejeshoniko poa sana..
sasa mmefikia wapi? nataka kufanya yangu hapo juu...
Wawili wa nini tena wakati umesema nakutosha sema nimechelewa kuja kutoa taarifa hapa kwamba nimewini game acha bwana nijidai kukupata
Sasa kwa nini nisiringe chezea kukesha kwa ajiri yako njeHaaaa kweli?
Bado mnatongozana tu?