Mechi kati ya taifa stars na DRC inakaribia kuanza hapa uwanja wa Taifa. Nitakuleteeni live up date. Nyimbo za taifa ndo zinzpigwa na sasa wimbo wa tanzania unapigwa baada ya ule wa Congo
wachezaji wa tanzania wanaanguka hovyo hovyo. hawa congo wanaonekana wana afya kweli kweli yani ni mapande ya watu halafu wanachenga za maudhi. congo wana stamina kuliko tanzania. tanzania ni kama hawana mazoezi kwa jinsi wanavyo cheza.