Mkuu umenipa raha sana,nilidhani wewe ni popoma lakini leo nimegundua siye.
Pamoja sana.
Simba mpira badooooo sanaaaaaa!
Hongera mabingwa watarajiwa. Msimu umeanza vizuri sana ..
Asante wana msimbazi...
Okei, toa hilo, zinabaki 2-1, mbili za Kiiza na bado top scorer! hapo je? umerodhika?
sitegemei uisifie kazi nzuri inayofanywa na Simba hata siku moja....we ni mtu wa mlengo wa kushoto tu.
Full Time.
Mikia 3-1 Kagera Sugar
Hamisi Kiiza>Hat Trick
Ngoja ajifariji atakapokuja kushituka tuko juu tukifuatiwa na Azam, maana kwa beki ya Juuko, Isihaka, Kessy na Shabalala huku kiungo cha chini akicheza Majabvi na juu Ndemla, pembeni Mwalyanzi na Awadh Juma na sebuleni akiwepo Kiiza na Ajib sioni kwa nini tusiwafunge.
Ngoja ajifariji atakapokuja kushituka tuko juu tukifuatiwa na Azam, maana kwa beki ya Juuko, Isihaka, Kessy na Shabalala huku kiungo cha chini akicheza Majabvi na juu Ndemla, pembeni Mwalyanzi na Awadh Juma na sebuleni akiwepo Kiiza na Ajib sioni kwa nini tusiwafunge.
Siku hiyo ni siku ya kujitwalia utukufu.Design kama wewe ndio unajifariji hivi!!!!
Haya na tusubiri tuone,time will tell.
Ebu Uangalie Mwenyewe Huu Mziki Halafu Ujikadirie Mwenyewe Kichapo Chako.
1.Deo Munishi/ally Mustafa
2.Mbuyu Twite
3.Mwinyi Haji/oscar Joshua
4.Kelvin Yondani
5.Nadir Haroub
6.Haruna Niyonzima
7.Geofrey Mwashiuya
8.Salum Telela
9.Donald Ngoma
10.Amis Tambwe
11.Simon Msuva
Na Bunduki Nyingine Hizi Hapa Ziko Nje Zinasubiri Na Hamu Ya Harufu Ya Damu Na Njaa Kali Ya Kuua Mtu.
1.Deus Kaseke
2.Malim Busungu
3.Andre Coutinho
4.Vicent Bossou
5.Thabani Kamusoko
Jipimie Mwenyewe Kifo Chako Mkuu Kitakuaje.Husije Kusema Israeli Amekuonea.
Naona Kiiza ni kama Lowasa ivi Makoye Matale
Kuwa mstaarabu bhasi, hamna haja ya kututukana! Muige Makoye Matale.Ndorobo Nyie!.Mechi3 Mmeshaanza Kumwita Topscorer!.Topscorer Wa Vpl Anaamuliwa Jangwani Nani Awe Topscorer Msimu Huu.Arudi Msuva Au Akae Ngoma Au Tumwachie Mwashihuya.Huyo Kiwete Wa Mikia Hawezi Kua Topscorer
Hivi ni kwa nini mnaleta siasa huku? Mimi pia niko heavily involved ktk jukwaa la siasa ila sioni umuhimu wa kuyaleta hayo huku. Huu ni utumwa sasa! Yaonesha jinsi watu wasivyoweza kujicontroo.Usisahau kwamba.
KIIZA anakenda kukutana na BEKILAIN ya Taifa Stars.
The fact that hata timu yake ya Taifa hayumo, inaibua maswali ni kwa jinsi gani ataweza kupachika Mabao.
Dah! basi hongereni kwa kupata kwa kupata jembe, jamaa yuko poa, sikujua hilo sababu sijafuatilia usajili wa yanga na wala sijaangalia mechi zao!mkuu Fullbeki Ya Kushoto Alicheza Mwinyi Haji Au Unajitoa Ufahamu Kwa Makusudi.katika Ukuta Wa Stars Ukimuondoa FullBeki Wa Kulia Shomari Kapombe Wa Azam.Waliobaki Wote Mpk Goli Kipa Ndo Backline Ya Yanga.Fullbeki Wa Kushoto Mwinyi Haji Amesaini Yanga Kutoka KMKM.Mikia Mnapenda Sana Kujifanya Hamnazo.
Simba ya mwaka juzi na ile iliyoeudisha goli tatu ilikuwa mbovu kabisa, na yanga ile ilikuwa ktk ubora wake haijawahi tokea, bado mlidunda, sasa sijui unataka kusema nini na hii list ambayo nayo ni majina tu ila kiukweli haina ubora kama yanga ile.Ebu Uangalie Mwenyewe Huu Mziki Halafu Ujikadirie Mwenyewe Kichapo Chako.
1.Deo Munishi/ally Mustafa
2.Mbuyu Twite
3.Mwinyi Haji/oscar Joshua
4.Kelvin Yondani
5.Nadir Haroub
6.Haruna Niyonzima
7.Geofrey Mwashiuya
8.Salum Telela
9.Donald Ngoma
10.Amis Tambwe
11.Simon Msuva
Na Bunduki Nyingine Hizi Hapa Ziko Nje Zinasubiri Na Hamu Ya Harufu Ya Damu Na Njaa Kali Ya Kuua Mtu.
1.Deus Kaseke
2.Malim Busungu
3.Andre Coutinho
4.Vicent Bossou
5.Thabani Kamusoko
Jipimie Mwenyewe Kifo Chako Mkuu Kitakuaje.Husije Kusema Israeli Amekuonea.
Kuwa mstaarabu bhasi, hamna haja ya kututukana! Muige Makoye Matale.