Uwanja wa Jamhuri mbaya sana aisee...
Bora uendelee kufanyika mikutano ya siasa tu...
Hawa mabeki wengine sijui vipi.
Simba 1-0 Stand United.
Mkuu njoo unipitie hapa karibu na lango kuu,, kumbe upo jamhuri mda huu?
Natazama Azam 2 kaka...
Mechi ya Yanga ipo live Azam 2...
mmepigwa....???
Natazama Azam 2 kaka...
Mechi ya Yanga ipo live Azam 2...