Live updates: Coastal Union V/S Simba Mkwakwani -Tanga.

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,330
Wakuu.

Leo kuna mchezo wa kirafiki kati ya Coast union ya Tanga na Simba ya DSM, mpaka
sasa si coast wala simba
ambaye ameliona lango la
mwenzake. Mpira ni pamumziko sasa hivi.

Coast union wameonyesha kiwango kikubwa
cha mpira wakiwatumia wachezaji wao wakongwe Haruna Moshi Bobani, Juma Nyoso, Uhuru Selemani, Shabani Kado na Jerry Santo.
Upande wa Simba mpaka sasa
mchezaji aliyeonyesha kiwango cha juu ni
aliye kuwa mchezaji wa zamani wa Azam ambaye alifanya majaribio na kufuzu timu ya Jomo Cosmoss ya Afrika kusini, Abdulhalim Hamoud.

Nitazidi kuwajuza.
 
Mwaka huu sina hakika na 'udugu' wa coastal na simba:tape:
 
Dakika ya 35 Coastal union 0 Simba sport club 0
 
Half time:
Coastal 0 Simba 0

Totterham 0 Arsenal 1-Ozil 11`
 
Tottenham 1 ArsenaL 1

Coastal 0 Simba 0

dakika 60
 
Mnatuchanganya, ni 1-0 au 0-0 Mkwakwani? wengine njia pekee ya kufuatilia mechi za mipira ya Bongo live ni humu JF tu!
 
Mnatuchanganya, ni 1-0 au 0-0 Mkwakwani? wengine njia pekee ya kufuatilia mechi za mipira ya Bongo live ni humu JF tu!

Huyo Youngsharo anawawangieni mimi niko kweye sceen na Sumsung garaxy
 
Mpaka sasa Coastal 0 Simba 0 dakika ya 60

Totternham 1 Arsenal 1 dakika ya 72
 
vipi nani yuko likely kushinda hasa kwa Tanga...

Mpira ni mbovu,stopover nyingi, mpira huchezwi wanjani ni mala faulo,mala umetoka , mala mtu kajiangusha anaanza kuchelewesha muda. Ukilingaisha na mpira wamjuu wetu uko chini sana
 
Dakika ya 70

Coastal 0 Simba 0 timu zote zimekata tama ni bora liende tu

Totternham 1 Arsenal 1 dakika ya 87
 
OO sory

Totternham 2 Kane dakika 86 Arsenal 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…