Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Yanga akishinda leo basi ubingwa ni haki yake mwaka huu!
Maana kuna taarifa kwamba azam kainunua mechi hii ili mgambo ashinde!!!
Azam ndio kagharamia kambi ya mgambo na posho tangu mechi yetu(simba)na hii ya yanga leo!!!

Yanga team new champions
 
Muda wa kufungua Champagne Cheers!!!

Cheers kwa mikia SC,
Cheers kwa Mgambo JKT,
Cheers kwa Kagera Sugar FC.

Sisi full furaha, upande wa pili hali tete. Watu wamehama humu jamani ama? Ha ha ha haaaaa cheeers!!!
 
wale mikia sc km mvua ingekuwa imenyesha j5 km ilivyonyesha leo,wangefungwa hata 4.timu ya wananchi imejipigia kiulaini.kuna mshabiki wa simba nilikuwa nimekaa nae akaniuliza kwa nn yanga inafungwa na simba?mm nikamjibu kwa sabab ya mganga wa zenji tu.ndio maana yanga tunafungwa na simba.au wadau hilo jibu nimekosea?
 
Hujakosea mkuu unadhani kuna jibu lingine sahihi kuliko hilo!!!!!!
Wanatufunga kwa sababu simba ni wazee wa ndumba lakini kimpira hawatuwezi.
 
Goli alilofunga tambwe nimerudia kuangalia asee uyu mtu apana chezea anamazoezi hatari lol,anaspring miguudmi au mana kaenda juu hatari,ngoja niangalia km lipo you tube ni goli bora la msimu kwa vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…