Live updates: Mdahalo wa elimu ukimbi wa Nkrumah UDSM.

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,330
Professa Mosha amesha anza kutoa mchango wake na ameanza na migogoro.

1. Matokeo ya K4 mwaka jana.

2. Kuporomoka kwa matokeo

3. Mgogoro kuhusiana na alimu inayo tolewa kila ngazi.

4. Mgogoro ni kama sote tutapanic na kuanza kuchukua hatua bila kujiweka sawa.
 
Yote tumesikiliza na kweli yametokea na bila mkazo kuhusu mjadala hatutofika mahali popote nukuu misemo ya mbatia,zitto,
Lazima tufanye kitu kuhusu hili kwani elimu letu niya kwetu sisi na siyo ya mwingine.
 
Yote tumesikiliza na kweli yametokea na bila mkazo kuhusu mjadala hatutofika mahali popote nukuu misemo ya mbatia,zitto,
Lazima tufanye kitu kuhusu hili kwani elimu letu niya kwetu sisi na siyo ya mwingine.

Hatua za dhati zinahitajika kuinusuru elimu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…