Live Updates: Mechi za Funga dimba VPL,Yanga kuhangaikia nafasi ya pili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Mechi za funga dimba

Msimamo wa VPL


Kikosi cha Mnyama

Kikosi cha Yanga

Updates Half Time



Updates Full Time
 
Timu ya Wananchi itamaliza kwa kishindo dhidi ya wana Paluhengo huku Bodaboda fc au Mikia wakitiwa Korokoroni na Polisi
 
Kila lakheri Lipuli fc, Coastal Union, Ruvu Shooting, Azam fc, pamoja na Mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.

Tukutane 2020/2021
 
Duh huo uwanja sasa ni kiparaaaa ila Simba tunapiga sambusa kama tupo Simba Mo Arena
 
Kila la heri mtani.....mjipooze na ushindi wa Pili,mwakani maweza kucheza mtoano na Singida United!
 
Namungo wameshakalia kimoja. Naona FA ikiwa rshisi sana kwa Simba
 
Namungo wameshakalia kimoja. Naona FA ikiwa rshisi sana kwa Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…